Wakubwa wa CCM hawakupenda kuona chaguo la walio wengi, masikio walitia pamba kali, machoni wakavaa miwani za mbao, hata walipojaribu kutekenywa na wanec walioimba TUNAIMANI NA LOWASSA hawakupenda kujali.
Nyerere aliwaambia...msipuuze maoni ya wananchi walio wengi. Channel ten hawakuchoka kuwakumbushia ujumbe huu mara kwa mara.... haikusaidia.
Kuna jinsi moja tu ya kuwafikishia ujumbe watu wsio penda kusikia. SANDUKU LA KURA.
1995 watu walikua hawajaichoka CCM ki vile . Mrema angeungana na wenzie angechukua nchi. Leo hii ni kiongozi gani wa CCM unadhani anaweza akawakusanya wananchi na kuwakonvinc kama Nyerere 1995,
watayaoga