Mrejesho

nyilaegenge

Senior Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
198
Reaction score
105
Miezi michache iliyopita niliwahi kuomba ushauri juu ya binti niliyempa mimba.
Nilizingatia ushauri w kwenda kuonana na binti na hatimaye kumwona mtoto. Mtoto kanifanana kidogo hasa paji la uso ila kamfanana copy right bibi mzaa baba na wadogo zang wa mwisho.
Nimeanza kuhudumia nina miezi kadhaa sasa, ila tatizo nagombana na huyu mzazi mwenzangu sana maana alitaka tuishi naye kitu ambacho nilimkatalia katu.
Sasa ni fujo kila siku mpk najuta kuzaa bila utaratibu.

Mdada niliyepanga kumuoa nilighalilisha hatua za mwisho maana tulishindwana nani amfuate mwenzie kweny dini yake, tukaendelea kuwasiliana ila mwisho nikamdanganya kama nimetafutiwa mdada wa kuoa na wazazi wkt sio kweli.siku mbili zilizopita amelazwa hospital katoka Leo asubuhi.

Mwisho , baada ya kufanya maandalizi ya kumuoa dada mwingine wa dhehebu langu, vimetokea vikwazo vikubwa mzazi wa binti huyu Mpya anapenda mahali kubwa sana about 4mlns nami nilipanga kutoa 2 to 3 mlns kw ajili ya kuwashukiru wazazi.
Sasa nimechanganyikiwa sijui cha kufanya , natamani sana kuoa ila ndo ivo mikasa haishi kbs mpk nawaza nifanye Biashara nipige chini hbr za ndoa.
Note: mweny mtt kamwe siwezi muoa KBS, huwa tunagombana sana mpk ananitusi ya nguoni so sihitaji aje nipa pressure.

Nimejifunza pia kuoa ni stage kubwa sana.
Wasalaaaaaaaaaaam
 
Pale wazazi wanapotaka mahari ya binti yao ndo iwatatulie shida zao zote.

Hapo waulize hao wakwe zako kuwa : Ukishalipa hiyo milion 4 kama mahari, ndo itakuwa mwisho wa wewe kuwasaidia katika shida zao.? Au bado hapo mbeleni uwategemee watakuja tena kuomba msaada pale watapohitaji.?

ONYO :
Uliza hivi kama una mchepuko wa backup.




 

HAPA INAHITAJIKA PICHA ANGALAU YA PASSPORT SIZE
ILI KUSHADIDIA MAELEZO!
 
huyo biti alitoa mahari kwa ajili ya shukrani kwa wazazi wako?
 
SASA HAPA TULIA TUU UTAJIKUTA UNAVAMIAPSIPO...MARA MAHALI MARA HUTAKI UNAPATA NA KEJELI....HIZONI TENSION ZAULIYEZAA NAYE HAMKUPANGA IKATOKEA SAHAUISHI NAYE IMEKUWA ISHUKWAKE....BASI TLIA KUOA USIFORCE......TULIA KABISA...MAANA MAHALI SIJUIMAHARI NAYOISHAKUWA ISHU YA KUSOLVE SHIDA ZA WATU....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…