Wakuu habar za masiku majuzi nilikuja hapa jukwaani na njuzi takribani 2 nikiomba msaada juu ya kusahihisha toleo la window 11 kwa pc yangu. Baati nzuri nilifanikiwa juu ya hilo sasa nilikua napenda kushare nanyi kasoro kadhaa nilizoziona.
Kama wew pc yako unatumia kwa ajili ya shughuli za ufundi simu kama mimi unaweza pata changamoto kwa wale watumiaji wa crack mimi natumia miracle crack version 2.82 kweny upande wa kupiga file haimalizi miracle itajifunga yenyewe. pia ukitumia aladin ukiwa unataka kuweka file inajifunga yenyewe.
Kingine Web browser ya Edge hutoweza kuperuzi ishu nyingine tofauti na za microsoft hata kudownload. Ndizo kasoro nimneona mpaka sasa mambo mengine yapo vizuri na upande wa update na pata update mpy kama kawaida pia kingine kizuri ni app za android natumia kama kawaida kwenye whatsapp napata video call nimeweza kudownload instagram na twitter