Nilipost uzi miezi kadhaa iliopita, mrejesho ni huu, hadi sasa biashara nliosema nlibakiwa nayo, ilikufa fasta ndani ya siku moja, yani hata sikuweza kuiuza ili niifaidi hela.
Sasa solution iliobaki naona ni kwenda Kwa mganga nitoe kafara miaka yangu ya kuishi hapa duniani, ili nipate maisha mazuri, ni heri kuishi Kwa raha Kwa miaka 2 hlf nife, kuliko kuishi miaka 50 ya umaskini.
Kwa wale walokole mtakaosema yesu ni jibu, niwaambie hivi, mm nikimwomba Mungu, hanijibu maombi, sasa nife na njaa huku najiona, hapana aisee.
Sasa solution iliobaki naona ni kwenda Kwa mganga nitoe kafara miaka yangu ya kuishi hapa duniani, ili nipate maisha mazuri, ni heri kuishi Kwa raha Kwa miaka 2 hlf nife, kuliko kuishi miaka 50 ya umaskini.
Kwa wale walokole mtakaosema yesu ni jibu, niwaambie hivi, mm nikimwomba Mungu, hanijibu maombi, sasa nife na njaa huku najiona, hapana aisee.