Mrejesho : Kanikataa kwa sababu ya ufupi...!!

Kweli ndio umeamka sahizi uandike haya?

Ww ndo umekuja kutoka usingizini usome na u comment haya...!!! Anayemfuata mwendawazimu yeye ndo mwendawazimu square....!! Don't get mad its a simple logic big boy...!! Ungekua upumbafuu ungepita kimya kimya...!! Tuachie andunje wetu kumshauri au vip mzee baba...!!
 
Narudi kwako Emoro....!! Mkumbo uloufuata Bab kubwa mwanangu...!! Ila hapo kwenye Human Trafficking revise upya mzee baba..!!! Kikubwa Jiamini.,, everythng is possible though.. Pessa kwa Mwanamke ni illusion tu., kama punda anayefuata karroti ukimwekea mdomoni utaenda nae utakako....!!!

Piga moyo konde Mzee.,,Jione Hasheem hata kama kiuhakisia wew ni Joti
 
"KAKA'' yangu naona ni cheo ambacho kinakufaa kuliko kukuita mkuu.Upo sahihi sana ktk fikra zako ila tu hilo la human trafficking naona halijakaa vizuri,ingawa kiukweli kwa maudhi ya Hawa viumbe na tamaa zao pamoja na vitimbi ambavyo wanavyo,hasa kutokana na kujifanya wao ni wakala wa shetani tena kwa Bure kabisa,unaweza jikuta na mawazo ya kufanya jambo ambalo ni la kuwakomoa....
Kimsingi kabisa usipoteze pesa zako kwa ajili ya Hawa wapuuzi ila km yameshakukuta lakn.maana km hujakutana na vitimbi vya Hawa mawakala wa shetani unaweza mdharau Bure yule ambaye anawalalamika...Na naomba sana nisiekeweke vibaya kwa kuwaita agents wa ibirisi,hii ni kutokana na ukweli ambao haujavaa nguo kuwa kila wanapofanya upuuzi wao hukimbilia kusema ," Ni shetani tu ambaye alinipitia kufanya hayo''.Swali linakuja km huyo shetani ndio anaushawishi MKUBWA kwako kiasi hicho mbona hata hiyo iliyo km mbegu ya tende humpi yeye?
Usiwaze sana kuwarudishia ubaya wao kwakuwa wengi wao ni ndugu za marafiki zetu na pengine ni Dada zetu.Tena unaweza shangaa kabisa wamelelewa ktk malezi bora kabisa.Ubora wa maadili,hekma na busara kabisa ila bado wanafanya Ujinga..
Km una watoto!,try to use your available finance for them rather than Hawa viumbe.Ila km huna basi wazo lako sio baya na jambo lingine wekeza kwa ajili ya kizazi chako kijacho.Ingawa swali laweza kuja tena nitazaa na nani?..hapo sasa ndipo jibu linakuja kwa urahisi kabisa kuwa utaingia ktk mahusiano na Hawa mawakala wa ibilisi kwa lengo LA kuzaa nae tu then unampotezea(ingawa sishauri sana hili kwakuwa wapo wengine wanajitambua sana na Mwenyezi Mungu Azidi kuwapa hiyo hekma)...Ni hayo tu KAKA kwa sasa nitarudi baadae
 
There alot of decent girl warefu ambao wangeweza kukukubali na kaufupi kako hivyo hivyo, tatizo nahisi ni chaguo la wanawake wako, inaonekana unapenda warembo wenye mambo mengi

I dated a short guy once for 6years. . He was complicated as f*ck
 
Ni wazo zuri ila siku zote usiwaze kumkomesha mwanamke, Pia kubaliana na hali halisi then move on
 
Kwani lazima huyo? tafuta mwingine tatizo mnapenda eti wanawake maarufu wakati hawajuagi hata kuwapikia.
 
Heeee! Ulifata mamiss? Ndo tatizo lenu wanaume ! Wapaka vaseline usoni hamuwataki mnafata hao waiga maisha ya akina kim kardashian. Sijui mkoje!
Ingawa wanaume wafupi mna timbwili balaa, insecurities kibao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom