MPIRA vs NDONDI wapi na wapi?

Huyu refa anaitwa Mujuni Israel ni mwalimu alifundisha sana pale Tambaza High School walichokifanya hawa wachezaji wa Yanga kimemvunjia heshima huyu mtu lakini heshima yao imeshuka maradufu.

Heshima kajivunjia mwenyewe ataharibuje mchezo kisa hela za "Azam Cola",nakwambia na atakuwa amejifunza mana'ke yale ma'gumi siyo mchezo
 
Wewe huwezi kujua hiyo ban ya mwaka mmoja au miezi sita ni kitu gani kwa sababu hujapewa wewe, ingekuwa hiyo ban umekula wewe hata usingeuliza ni kitu gani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…