Ile ni fundisho,wanapochukua hela kutoka kwa Matajiri wanaomiliki team ili kupindisha sheria 17 za soka waangalie namna ya ku'balance otherwise watakuja kupasuliwa mafuvu siku 1,ban ya mwaka m'1 sijui miezi 6 kitu gani,alifungiwa Nabii wa Lubumbashi Tresor Mputu itakuwa Mwasyika, pole zake sana, cha moto alikiona