Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Swali langu hilo hapo juu.
Hii timu inapiga sana faulo.Nahisi ukitengewa nje ya boksi kidogo ni ndani.
Sidhani kama kuna timu inapiga faulo kuliko hii ligi kuu.Kama ipo muitaje tafadhali.
Nimefuatilia gemu zao mbili.Na mabao yote yaliyofungwa ni faulo.
Ile ya Simba waliyokalia nne na wao kupata la kufutia machozi moja.Hilo moja ni faulo aliipiga huyu jamaa wanamwita Israel Patrick.
Hii gemu yao ya jana sikuifuatilia fresh maana kulikuwa na gemu ya simba pia.Ila baadaye kucheki highlights nikaona magoli yao yote ya jana ni faulo.
Freekick zenyewe zinapigwa kiufundi sana.Kwa hizo gemu mbili nilizocheki basi nahisi hata nyingine ambazo sijacheki wamefunga faulo za kutosha.
Mpiga faulo wa hii timu aangaliwe kwa jicho la tatu.Sio mtu wa kawaida!
Hii timu inapiga sana faulo.Nahisi ukitengewa nje ya boksi kidogo ni ndani.
Sidhani kama kuna timu inapiga faulo kuliko hii ligi kuu.Kama ipo muitaje tafadhali.
Nimefuatilia gemu zao mbili.Na mabao yote yaliyofungwa ni faulo.
Ile ya Simba waliyokalia nne na wao kupata la kufutia machozi moja.Hilo moja ni faulo aliipiga huyu jamaa wanamwita Israel Patrick.
Hii gemu yao ya jana sikuifuatilia fresh maana kulikuwa na gemu ya simba pia.Ila baadaye kucheki highlights nikaona magoli yao yote ya jana ni faulo.
Freekick zenyewe zinapigwa kiufundi sana.Kwa hizo gemu mbili nilizocheki basi nahisi hata nyingine ambazo sijacheki wamefunga faulo za kutosha.
Mpiga faulo wa hii timu aangaliwe kwa jicho la tatu.Sio mtu wa kawaida!