Mpenziwangu hataki tufanye romance

Mpenziwangu hataki tufanye romance

Tagawa Mwakitombile

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
468
Reaction score
398
Habari wana jf mm nina mpnzwangu yaani yy anataka nimvamie kama nambaka vile ndivyo anavyopenda

ila kila nikianza kumshikashika na kumtomasatomasa hataki kabisa na hapendi nimfanye hvyo yy anachopenda ni kumuingizia dushelele tu
nishaurini jamani nifanyeje maana siinjoi mapenzi kabisa?
 
Habari wana jf mm nina mpnzwangu yaani yy anataka nimvamie kama nambaka vile ndivyo anavyopenda

ila kila nikianza kumshikashika na kumtomasatomasa hataki kabisa na hapendi nimfanye hvyo yy anachopenda ni kumuingizia dushelele tu
nishaurini jamani nifanyeje maana siinjoi mapenzi kabisa?
She or he is gay .get rid of her soon as possible ,
 
Labda Domo lako LINANUKIA kama choo cha jiji,viganja vya mikono vigumu kama mtindua Lami,harufu mwilini kama Beberu mzee, mwili kama mko Two in One, Jiangalie muda si mrefu hata hicho 'kifuniko cha Peni' atakipotezea!
 
Aiseeeeeehhh! Jf ni balaaa!
Labda Domo lako LINANUKIA kama choo cha jiji,viganja vya mikono vigumu kama mtindua Lami,harufu mwilini kama Beberu mzee, mwili kama mko Two in One, Jiangalie muda si mrefu hata hicho 'kifuniko cha Peni' atakipotezea!
 
Kuna mambo ana kuficha hebu kaa nae umuulize vizuri!

Habari wana jf mm nina mpnzwangu yaani yy anataka nimvamie kama nambaka vile ndivyo anavyopenda

ila kila nikianza kumshikashika na kumtomasatomasa hataki kabisa na hapendi nimfanye hvyo yy anachopenda ni kumuingizia dushelele tu
nishaurini jamani nifanyeje maana siinjoi mapenzi kabisa?
 
...Labda kazoea kubakwa huyo foreplay katika vocabulary yake haipo kabisa. Mwambie husikii utamu kabisaaa!!! kwa kumbaka labda atakuelewa vinginevyo sepa ukatafute anayependa "maromance"

 
Last edited by a moderator:
Inawezekana hajakupenda toka moyoni,so pengine kunakitu kakifuata kwako so be care,raha ya mpnz ni romance,kwa hiyo unakosa utam bro,step from zero to hero

Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
 
Jina lako 2 ni utata tosha.
Ongea naye taratibu akueleze nn tatizo.
Hata mm cpendi romance za purukushani, mnuka mdomo (naturally au kwa pombe,kutopiga vzr mswaki,nk), asiyejua ki-kiss vzr...etc etc...

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Dah dah nahisi haku feel hata kdgo ,hana hisia na wewe au mawili mchunguze vizuri labda anakovu mahala fulani kubwaaaaaa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Muulize nini tatizo,inawezekana kila mmoja hayuko wazi kwa mwenzie,kutakua na tatizo ulizaneni wenyew kwanza
 
Habari wana jf mm nina mpnzwangu yaani yy anataka nimvamie kama nambaka vile ndivyo anavyopenda

ila kila nikianza kumshikashika na kumtomasatomasa hataki kabisa na hapendi nimfanye hvyo yy anachopenda ni kumuingizia dushelele tu
nishaurini jamani nifanyeje maana siinjoi mapenzi kabisa?

Domo lako litakuwa linanuka
 
Labda Domo lako LINANUKIA kama choo cha jiji,viganja vya mikono vigumu kama mtindua Lami,harufu mwilini kama Beberu mzee, mwili kama mko Two in One, Jiangalie muda si mrefu hata hicho 'kifuniko cha Peni' atakipotezea!

Ha haa haaa,jamani
 
Hajakupenda huyo.....kuna kitu anataka kwako....ndo inavyokuwa.
 
Habari wana jf mm nina mpnzwangu yaani yy anataka nimvamie kama nambaka vile ndivyo anavyopenda

ila kila nikianza kumshikashika na kumtomasatomasa hataki kabisa na hapendi nimfanye hvyo yy anachopenda ni kumuingizia dushelele tu
nishaurini jamani nifanyeje maana siinjoi mapenzi kabisa?
Pole sana, Inaelekea humwendei vizuri, badilisha utaratibu huku ukimuuliza kwa mapenzi kwamba unatakaje mpenzi? Kama walivyosema wengine huenda unanuka mdomo au mwili. Tafuta shower jelly za kiume au sabuni kali kama imperial na dawa za meno zenye kukata harufu, kisha uoge na kupiga mswaki. kisha tumia body spray kama ya far for men na hapo ndio ujaribu kumkumbatia taratibu usitumie nguvu kama unafungua nat za gari. pole sana jaribu njia tofauti utafanikiwa kumuwini.
 
Nenda naye taratibu. Wakati wa maandalizi husizuke tu nakutaka romance. Anza kwa maongezi huku ukijisogeza taratibu mwisho unafika Ikulu. Siyo unamvua nguo kama vile unabaka.
 
Kila mtu ana mzuka wake,jaribu kufanya mazungumzo naye umwambie unavyojisikia polepole mfundishe atazoea
 
Back
Top Bottom