Mpenzi wangu sio rafiki

Mkuu kujamba ni popote pale,haimaanishi ukiwa na mpnz wako usijambe na hivi muwe pamoja ndani ya miaka miwili isitokee hata siku moja kashikwa na kijambo kweli??

Sio kila unaposhikwa na kijambo ujambe mkuu. Unaweza jamba offisini kisa una umejiskia kujamba? Mpenzi wako pia anahitaji kuheshimika.
 

Sio kila unaposhikwa na kijambo ujambe mkuu. Unaweza jamba offisini kisa una umejiskia kujamba? Mpenzi wako pia anahitaji kuheshimika.
Mkuu nitakupinga kidogo kuhusu hili..hasa kwenye mahusiano ya wawili kunatakiwa kuwe na hali ya uhuru baina yenu...mbona mambo madogo hayo then kujamba ni afya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiwapigia kelele mnakimbia nyumbani, tukikaa kimya pia taabu!! Hivi nyie viumbe mnataka nini lakini!!!!!

Hahaha..uwe wastani kidgo sio unakuwa chiriku kuongea 24/7 au unakuwa mpole kupita kiasi inaboa, ila mi personally mara mia uwe mpole kuliko yule ambae hana breki mdomoni
 
Mkuu nitakupinga kidogo kuhusu hili..hasa kwenye mahusiano ya wawili kunatakiwa kuwe na hali ya uhuru baina yenu...mbona mambo madogo hayo then kujamba ni afya

Sent using Jamii Forums mobile app

Oukey na ni kweli unachokisema, but personally i can't do it intentionally, maybe sijawahi kujiskia huru kiasi hicho, kwangu itokee tu kwa bht mbaya but kwake ajiachie awezavyo.
 

Oukey na ni kweli unachokisema, but personally i can't do it intentionally, maybe sijawahi kujiskia huru kiasi hicho, kwangu itokee tu kwa bht mbaya but kwake ajiachie awezavyo.
Ndo hivyo mkuu..I mean kwa bahati mbaya ikiwa ndo mpaka niwe au awe hana budi ila kuuachia tu..kusudi yoyote utaijua tu by any other action will show she is'nt respecting na sio kwenye kujamba tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Oukey na ni kweli unachokisema, but personally i can't do it intentionally, maybe sijawahi kujiskia huru kiasi hicho, kwangu itokee tu kwa bht mbaya but kwake ajiachie awezavyo.
Ndo hivyo mkuu..I mean kwa bahati mbaya ikiwa ndo mpaka niwe au awe hana budi ila kuuachia tu..kusudi yoyote utaijua tu by any other action will show she is'nt respecting na sio kwenye kujamba tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan hapo nngepata mm ndo nngefrahi sana nahtaji mtu wa namna hyo naomba namba yake mkuu niongee nae labda atabadlika
 
Usimwache huyo. Ni afadhali mara kumi huyo mkimya kuliko kicheche anayezungumza kama yuko kwenye mashindano ya kupayuka. Watu wa nyumba ya pili wanasikia kila kitu hata kama anataka kukwambia habari za chumbani. Bila shaka huyo girl friend wako alipata tatizo lililomwathiri kisaikologia zamani. Usiwe unaanzisha mazungumzo wewe, tumia ujanja mpaka ajikute anajieleza yeye. Ukiweza kuendelea kufanya hivyo iko siku ataeleza kilichomsibu zamani na akishafanya hivyo hicho kikwazo kitamtoka na utashangaa ataanza kuwa social kwako. Hakuna mtu asiye na mapungufu kwa hiyo mvumilie ujipe kibarua cha kumrekebisha kwa upendo. Kama unaweza, mpeleke kwenye maombi lakini sio maombi tu bali iwe mahali atakapopata ushauri wa kisaikolojia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi siamini kama kuna watu ambao hawapendi kuongea ila vinavyochangia mtu kuwa mpole;

1.Uhusiano,ukaribu wa wazungumzaji unaathiri sana
2.Mada ya mazungumzo,uvutiaji au usisimuaji wake
3.Usikivu baina ya wazungumzaji,unakuta mmoja anatawala mazungumzo hamna budi mwingine kutulia
4.Mazingira ya kuzungumzia(moods),sehemu tulivu au mazingira ya furaha huchochea mazungumzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…