Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza huyu mpenzi wangu ana tabia flani ya kunitishia tishia ataniacha akiniona nimeanza kumbadilikia anajifanya ananiambia alikuwa kama anatania tuu ila anafanya hivyo ili ani push kufanya jambo flani ambalo analolitaka yeye kama yeye
Licha hayo yote kuna siku tukiwa katika maongezi ya utani utani akachomekea kauli hii kama utani
Hivi ikitokea siku nimekuacha utafanyaje au nimechukuliwa na mtu mwingine utafanyaje au siku tumeachana utachukua uamuzi Gani hapo alikuwa anaongea kama utani tukiwa chumbani huku anacheka cheka .
Mpka sasa nina week nimefikiria sijapata majibu imenibidi nije jf humu kuomba ushauli kwanza
Licha hayo yote kuna siku tukiwa katika maongezi ya utani utani akachomekea kauli hii kama utani
Hivi ikitokea siku nimekuacha utafanyaje au nimechukuliwa na mtu mwingine utafanyaje au siku tumeachana utachukua uamuzi Gani hapo alikuwa anaongea kama utani tukiwa chumbani huku anacheka cheka .
Mpka sasa nina week nimefikiria sijapata majibu imenibidi nije jf humu kuomba ushauli kwanza