Mpenzi wangu anaomba ruhusa ya kutoka na marafiki zake leo usiku Valentines day

mmbangaya

JF-Expert Member
Jan 16, 2015
997
1,765
Salama JF.,
Ikiwa leo ni siku ya Valentine nimerudi kutoka job naona mwili umechoka sana kama nina dalili za malaria.
Mpenzi wangu toka mchana nimempa taarifa kwamba sipo vizuri kiafya. Ila cha ajabu jioni hii anaomba kutoka na rafiki zake kwa kuwa leo ni Valentine day. Kinachoniuma zaidi badala angenitake care ajue hali yangu inaendelea aje yeye ananang'ania kutoka tuu na rafiki zake wa kazini.
Ukizingatia tunaishi pamoja hapa mjini ila kila mtu ameajiriwa sehemu tofauti.
Naomba ushauri anapokwenda kuna usalama kweli kwa wale wajuzi wa mambo
 
Salama JF.,
Ikiwa leo ni siku ya Valentine nimerudi kutoka job naona mwili umechoka sana kama nina dalili za malaria.
Mpenzi wangu toka mchana nimempa taarifa kwamba sipo vizuri kiafya. Ila cha ajabu jioni hii anaomba kutoka na rafiki zake kwa kuwa leo ni Valentine day. Kinachoniuma zaidi badala angenitake care ajue hali yangu inaendelea aje yeye ananang'ania kutoka tuu na rafiki zake wa kazini.
Ukizingatia tunaishi pamoja hapa mjini ila kila mtu ameajiriwa sehemu tofauti.
Naomba ushauri anapokwenda kuna usalama kweli kwa wale wajuzi wa mambo
Jikongoje uende nae mkuu, kumbuka leo ni siku ya upendo
 
Hamna hata mmoja wa kunipa Moyo jamani zaidi ya kunikatisha tamaa?
 
Anaomba ruhusa ya nn wakati mnaishi sehemu tofauti mruhusu tu mkuu angekuwa na jambo lake sidhani kama angekuaga
 
Mwenzio nimempa dawa ya kuharisha mpz wangu leo, Hapa nipo nakula bata na mbebez mwengine.


Ndukiiiii
 
Back
Top Bottom