mmbangaya
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 997
- 1,765
Salama JF.,
Ikiwa leo ni siku ya Valentine nimerudi kutoka job naona mwili umechoka sana kama nina dalili za malaria.
Mpenzi wangu toka mchana nimempa taarifa kwamba sipo vizuri kiafya. Ila cha ajabu jioni hii anaomba kutoka na rafiki zake kwa kuwa leo ni Valentine day. Kinachoniuma zaidi badala angenitake care ajue hali yangu inaendelea aje yeye ananang'ania kutoka tuu na rafiki zake wa kazini.
Ukizingatia tunaishi pamoja hapa mjini ila kila mtu ameajiriwa sehemu tofauti.
Naomba ushauri anapokwenda kuna usalama kweli kwa wale wajuzi wa mambo
Ikiwa leo ni siku ya Valentine nimerudi kutoka job naona mwili umechoka sana kama nina dalili za malaria.
Mpenzi wangu toka mchana nimempa taarifa kwamba sipo vizuri kiafya. Ila cha ajabu jioni hii anaomba kutoka na rafiki zake kwa kuwa leo ni Valentine day. Kinachoniuma zaidi badala angenitake care ajue hali yangu inaendelea aje yeye ananang'ania kutoka tuu na rafiki zake wa kazini.
Ukizingatia tunaishi pamoja hapa mjini ila kila mtu ameajiriwa sehemu tofauti.
Naomba ushauri anapokwenda kuna usalama kweli kwa wale wajuzi wa mambo