Sas ndio utufungulie thread kwel?? Au waja hapa kuturusha roho akina sie tusio kuwa na uwakika kam tupo single ama tupo ktk mahusiano yasiyoeleweka yanahusiana na nini, yaan inaweza pita week hatujatafutwa bt we don't mind the fucken biznes of our lovers....
Mkipendwa mpendekee jmn mnataka mpewe nn??
Nikajua ni watu wasiojulknana kumbe upumbavu