Just leave her, leave her and move on with your life!!
Muache, tuliza akili, tafuta pesa...then tafuta mwingine weka ndani moja kwa moja..Ila jiulize, wapi ulishindwa, wapi ulikosea.. wadada wanapenda pesa, wanapenda "game" za uhakika, acha kula zege, kula vyakula vyenye lishe ili ukisimamia kucha...asitamani kutoka na rafikiyo.