Mpenzi ananizingua

Noel 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
718
Reaction score
292
Wakuu, Heshima kwenu, moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu.

Nina Mpenzi, tumekuwa pamoja for a while now, ila nagombana nae kitu kimoja tu, kila siku. Anapenda sana kuvaa pete kidole cha pili baada ya dole gumba, tena miguu yote miwili, nishamsihii sana, azivue lakini, husema nitavua, lakin hazivui, tukakubaliana, asije kwetu mpaka azivue, lakini keshakuja twice na hajazivua.

Kiufupi, mimi sipendi avae pete mguuni, naoana kama ni Ushangingi, naona kama nikimezea, kuna siku nitamkuta na vikuku, ni vitu vya kawaida kwa wengine, lakini kwangu vinanikera mno.

Sasa jaman, nifanyeje? Naombeni Muongozo maana, nakuwa simuelewi, namuuliza sabau ya kuzivaa, hanipi jibu la maana, au alivishwa na x wake nn? Sasa anaziacha kama ukumbusho? Au ni nini? Mi sielewi, nachoelewa nakereka na hii hali na nataka iishe. Nifanye nini?

Thanking you in Advance.
 

Mlikubaliana asije kwenu, lakini alikuja. Yaonyesha hauna msimamamo.
 
Hata akizivua, itakuwa kwa muda tu kisha atarudia kwani hiyo ilishakuwa tabia. Amua moja, kukubali tabia/mazoea yake, au kuyakataa. Na kuyakataa ni kuachana nae!
 
Ha ha ha ha ha ha ha nimependa iyo huna haja ya malumbano
Kuna kipindi nilizimika kwa binti mmoja hivi..baada ya mda nikagundua ana bonge la 'chata' mkononi, karibu na bega..niliondoka kimyakimya..!!
 
Pole sana asieskia la mkuu huvunjika guu upenzi tu huv hakuelew wala habadiliki hapo ndoan itakuaje usimruhus tena aje kwenu muepuke taratibu
 
Put a frog in a vessel of water and start heating the water.

As the temperature of the water rises, the frog is able to adjust its body temperature accordingly.


The frog keeps on adjusting with increase in temperature...

Just when the water is about to reach boiling point, the frog is not able to adjust anymore...

At that point the frog decides to jump out...

The frog tries to jump but is unable to do so, because it has lost all its strength in adjusting with the rising water temperature...

Very soon the frog dies.

What killed the frog?

Many of us would say the boiling water...

But the truth is what killed the frog was its own inability to decide when it had to jump out.

We all need to adjust with people and situations, but we need to be sure when we need to adjust and when we need to confront/face.

There are times when we need to face the situation and take the appropriate action...

If we allow people to exploit us physically, mentally, emotionally or financially, they will continue to do so...

We have to decide when to jump.

Let us jump while we still have the strength.

Think on It !!
 
Wakati unamtongoza ulimkuta na hayo makitu kwa nini unataka ayatoe? Au hukuyaona? Kama utaki hayo madude achana naye tafuta mwingine.
Inaonekana umemchoka unatafuta sababu ya kumpa za mbavu, kama ni hivyo, kwa nini usikae naye chini ukamueleza kwa huna tena hisia juu yake, hivyo unaomba msiteshe mahusiano, tena umwambie hivyo huku ukimtazama usoni ukiwa umemuwekea sura ya Jeshi.
 

Ulipomuona na kumpenda na kuamua kumtongoza mpaka mkakubaliana kuanza mahusinao alikuwa anazivaa au ameanza kuzivaa baada ya kuwa mmeshaanza mahusiano?
 
ni utoto 2, akikua ataacha, mi mwenyew nilikua napenda sana kuvaa hzo pete miguuni, vikuku na cheni kiunoni nilivyokua chuo, ila sa hiv nmeacha, ni ujana tu huo kaka, mwache amalize akija akakuvalia uzeeni mkiwa mshaoana ndo utaona ajabu zaidi....
 
Ulipomuona na kumpenda na kuamua kumtongoza mpaka mkakubaliana kuanza mahusinao alikuwa anazivaa au ameanza kuzivaa baada ya kuwa mmeshaanza mahusiano?

Alikuwa amezivaa, na nilimwambia sivitaki, akasema atazivua, mpaka sasa hajazivua.
 
tatizo wewe unataka kumchimbachimba utakufa kwa pressure, maliza chuo kwanza,,,,,, usidandie vya watu......

Nimemchimba nn mkuu, kitu sikipendi kwa mpenz wangu nisimkanye?
 
Unamuona kama shangingi...wakati ni shangingi already sema love inaku blind
 
Mlikubaliana asije kwenu, lakini alikuja. Yaonyesha hauna msimamamo.

Mkuu, usionge jambo as if unalijua sana, kuna mambo yalitokea, ikamlazimu kuja, na hata alipokuja, sikuwa hata na muda wa kulikumbuka hili, maana it was at the midst of a Problem, baadae ndio nikakumbuka tulikubaliana, akija awe amezivua, na second time, alikuja yy home Usiku bila taarifa, hapo ni baada ya kugombana, sje came to reconcile with me, na kwakuwa tulikuwa kwenye Ugomvi, i ddnt thought of it. Ila baadae, nikakumbuka tena, hasira ndio zikaongezeka. Mm nataka azivue, nishaur namna ya kufanya, bila kuharibu mahusiano yangu nae, or kama yakiharibika, basi iwe ni matokeo tuu, lakin sio planned.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…