Mpenzi ananinyima unyumba

Mpenzi ananinyima unyumba

P.V.Y.

Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
41
Reaction score
3
Naombeni Ushauri. Ninampenzi Nampenda Ananipenda Ila Kaninyima Penzi Anadai Mpaka Baada Ya Miaka Miwili. Nifanyeje?
 
Labda ana umwa kwahiyo niushauri wa daktari hubujaribu kukaa nae umuulize lakini hiyo kitu si chakula usilazimishe
 
We subiri tu ...ukishindwa chepuka
 
Hilo ni jambo la kukubaliana ninyi wawili. Kama unaweza subiri kama huwezi chapa lapa
 
Naombeni Ushauri. Ninampenzi Nampenda Ananipenda Ila Kaninyima Penzi Anadai Mpaka Baada Ya Miaka Miwili. Nifanyeje?

Tafuta papai bivu ulimalizie ukame wako...
 
subiria mpaka miaka miwili ifike (kama utaweza) then akukpga kalenda... tafuta uelekeo mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom