Mpenzi amefumania message za mapenzi

Yote ya nini??
Umekosa kama unampenda sana mwombe msamaha nakama hakubali.
Basi sio nyota yako..
 

Mtumie zile sms za aina hii Imethibitishwa umepokea kiasi cha Tsh -............. kutoka kwa ........salio lako jipya ni......fanya hivyo utakuja kunishukuru maana atakuomba msamaha yeye


Sent using IPhone X
 
Kama ni za zamani hakuna ugumu hapo, mweleweshe tuu, kwani yeye ulimkuta bikra?
 
Kitu ufanye kwa ajili yako yote halafu uje kulialia mi nashangaa sana, hakujua kama inaweza tokea akafumaniwa? Hakujiandaa kwa matokeo ambayo yanaweza tokea?
.
.
Babe' hujambo lakini?
Niko poa kabisaa, napambana na corona tu huku kwa makonda ila soon naileta huko ulipo😁
 
Yote ya nini??
Umekosa kama unampenda sana mwombe msamaha nakama hakubali.
Basi sio nyota yako..
yote kwaajili ya kuokoa upendo ujue baada ya usaliti vitu havitakuwa sawa kama zamani so ni bora useme au ufanye hivyo kuliko kukubali kosa hadharani ila chamsingi ni kuavoid kuchepuka tu kama umependa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya yoooote ila usikubali kuwa umechepuka,, mwanaume hata ukutwe kitandani na demu tafuta kila namna ukatae..

Otherwise ukikubali kifala next time atafanya yeye na ukimkuta atasema mbona wewe ulichepuka akakusamehe

Take Care & Thank me later,,,, usisahau ku sanitize kuepuka Corona
 



Hakua anakupenda tu tokea mwnzo kwaio amepata njia ndio huyoooo ameenda mazima mbona mm juzi nilizifuma message za mapenz na ni current nimemsamehe mda huo huo maisha yanaenda ushaur km yupo karbu mfate huko anakoish umueleweshe ningekua ndo mm hata nicngekuacha as long as umekiri kosa na kuomba msamha wanaume wengne unawafuma na matusi wanakutusi na kukupga na wanakufukuza sasa kumpata wa kuomba msamaha kwa hakika ni jambo la kheri pole kaka ningekua mm ningekusamehe



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…