sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Hii ni habari ya kweli Nina toa rah kwa taaasisi za kifedha zote nchibi kama Kuna mpinzani alinunuliwa na Yule kiroboto wakishirikiana na Bashiru na mwendazake muda ujao mambo yatakuwa Bam bam!
Kwa habari za chini ya kapeti zinaonesha yakuwa Mwenyekiti wa CCM Ili aweze kupona lazima awaruidishe akina nape na wenzake haraka kamati kuu ya ccm vinginevyo vikao vijavyo mambo yatakuwa Bam Bam maana walionunuliwa wote watapigwa chini kuanzia ubunge mpk ukuu wa wilaya ukurugenzi wapo watakao poteza mpk uwaziri.
Pole mwita popote ulipo pamoja na akina sijui Lijualikalu na wenzake
Kwa habari za chini ya kapeti zinaonesha yakuwa Mwenyekiti wa CCM Ili aweze kupona lazima awaruidishe akina nape na wenzake haraka kamati kuu ya ccm vinginevyo vikao vijavyo mambo yatakuwa Bam Bam maana walionunuliwa wote watapigwa chini kuanzia ubunge mpk ukuu wa wilaya ukurugenzi wapo watakao poteza mpk uwaziri.
Pole mwita popote ulipo pamoja na akina sijui Lijualikalu na wenzake