MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
Wakuu nashindwa kuelewa tabia ya huyu mpangaji mwenzngu ..ni mshkaji kijana km mm ..ila yy kabahatika kuoa na anamtoto mdogo
Ila taibia ya jamaa.siielewi ukwel..jamaa unaweza kumpa Hi akauchuna hii kitu nimeiona toka nilipo hamia hapa..me sijaoa Ila toka nimehamia nimezoeana na wapngaj wengine hata mkewe wallahy nimcheshi mchamgamfu pia kaumbika...hata baadhi ya vitu tuna saidiana km majirani
Najuzi kati tulikuwa tunapiga stori wapngaj wote akiwemo mkewe ...alivyo fika nika Note kitu jamaa alichange
I don't give a f*ck but tabia ya mshkj inanshangaza mtu wakununanuna hana ushirikiano..Af ni MTU WA SINGIDA...je watu wa singida ndio tabia zao au
Ila taibia ya jamaa.siielewi ukwel..jamaa unaweza kumpa Hi akauchuna hii kitu nimeiona toka nilipo hamia hapa..me sijaoa Ila toka nimehamia nimezoeana na wapngaj wengine hata mkewe wallahy nimcheshi mchamgamfu pia kaumbika...hata baadhi ya vitu tuna saidiana km majirani
Najuzi kati tulikuwa tunapiga stori wapngaj wote akiwemo mkewe ...alivyo fika nika Note kitu jamaa alichange
I don't give a f*ck but tabia ya mshkj inanshangaza mtu wakununanuna hana ushirikiano..Af ni MTU WA SINGIDA...je watu wa singida ndio tabia zao au