Wiki imepita tangu mlinzi wa mwanamziki diamond kutumpia picha kwenye instagram akiwa kwenye mashindano ya mieleka nchini urusi akikwidana na ka bwana mdogo, kwanza tulishangaa bonge kama yule kupangiwa ka bwana mdogo na tuliamini angeosha kwa kukatoa noki auti lakini hadi sasa ameshindwa kusema kama alishinda lile pambano na kutoa ushahidi usiokuwa na shaka kuwa alidundwa.