MOU si Mkataba

Wikipedia ina define MoU hivi

A memorandum of understanding (MOU) is a
Ukienda mahakamani na madesa kutoka WIKIPEDIA utachekwa na makarani wa mahakama na utafukuziwa front lobby, wala Jaji hutamfikia. Nilidhani utatuelimisha kwa nini "makubaliano" sio "mkataba" kwa mujibu wa maudhui ya vitabu vya sheria ya Tanzania, sio WIKIPEDIA!
 
sasa kwanini waislamu wakitaka kuingia makubaliano na serikali juu ya kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi mnapiga kelele? Mnadai kodi za wananchi wote zitakuwa zinalipa watu wa imani moja! Je katika hili la taasisi hizi zinazosaidiwa na serikali hutumia kodi za wakatoliki pekee?
 

Hata kwenye vitabu vya sheria Memorandum of Understanding maana yake ni hiyo hiyo, kama una nyingine tofauti mkuu nielimishe.
 
Ngoja waje walee wenye macho lakini hawaoni,masikio lakini hawasikii...,
 
Asante Mwanaukweli nimepata kitu hapo. Ndugu yangu Ngwendu leta hoja zenye nguvu ueleweke na sio kusema ungeeleza mengi lakini wakati haukuruhusu, tufanye tuelewe msingi wa manunguniko/malalamiko ya waliyoko upande huo kuhusu mou.
 

operation za mabusha wanazofanyiwa waislamu pale ndanda hutokana na sadaka zao? jibu ni hapana, hakuna mkristo kwa namna yoyote anaweza kupata huduma yoyote kwenye mahakama ya kadhi, huko kodi za watanzania hazihitajiki, ni sahihi wakianzisha mahakama yao ambayo kimaudhui na vitendo inawahudumia waislamu pekee, basi waislamu peke yao waigharimie mahakama yao.
 

Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapa, hayo yote kumbe nikutafuta justification yaku chota mabilioni ya shilingi kunufaisha kanisa kwenye shughuli zake. Ujerumani ni nchi inayoongozwa kidini kwa hiyo hata ikifanya MOU na mashirika ya dini ni sawa tu. Nilitegemea utoe mifano ya nchi zetu za Afrika Mashariki ni wapi serikali zimeingia MOU na makanisa ? Huu ulikuwa ni ufisadi mmojawapo alio ufanya EL
 
ni mkataba wa kinyonyaji uliofungwa na Lowasa. laana hii ya mkataba inamsumbua mpaka kumalizika kwa Richmond. mungu tueweke mbali na kiongozi mikataba mobovu kama hii ya MOU

utalia sana na Lowassa ila ukweli unajulikana sema hutaki kukubali. Sivyo wekeni wa kwenu
 

Hawa jamaa wanajua lakini kuna aliyewapumbaza ufahamu! Juzi Kubenea kawawekea kila kitu ila watajifanya imeandaliwa na wakristo au waseme amenunuliwa
 
Nimefukua kaburi ili kuweka sawa Mou ya DP world ili wapinga maendeleo waelewe mkataba wa kibiashara bado haujafikia hatua yake na ukifikia hatua yake kipengele cha muda kitawekwa
 
Kwenye maelezo Yako,"3" ndiyo yenye maana ya mkataba.
Hivyo MoU Huwa na mkataba halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…