mmiliki ni mkristo na inasemekana kundi kubwa la watu waliovaa nguo ndefu nyeupe na tu kofia tweupe walionekana wakiwa na jazba huku wameshika viberiti wakiandamana. pia kulikuwa na kundi jingine la maninja waliojifunika uso mzima na kubakiza tu macho tu walionekana wakitembea kwa hasrira huku wakisema death to america