Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

Morocco: Tiketi za mechi ya Wydad na Simba zaisha

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,856
Reaction score
32,659
𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔

Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii

Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.

NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa.


NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiri
1682352572892.jpg
 
𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔

Wakuu ....kitaalamu tunaitaje hii

Taarifa Kutoka Morocco hadi sasa tayari tiketi zote majukwaa ya zone 4 na zone 7 zimekwisha.Na leo tiketi za Zone 5 zimekwisha Sasa zilizobaki ni hizi za mabosi VVIP je Mwekezaji atakuwepo nae Casablanca Kama alivyokuwa kwa mkapa.

NB;Kwa wale ambao wameshaingia Uwanja wa mkwakwani Tanga ni sawa tu nakusema jukwaa la urusi limeshajaa.


NB: picha haihusiani na mada ..... nmejaribu kutabiriView attachment 2598496
Tutaingia kinyume nyume tu na lazima Wydad Casablanca apigike, hifadhi huu ujumbe Chifu.
 
Back
Top Bottom