‘Morning Glory’ kwa wanandoa

we jamaa utakuwa mkurya
 
wazee wa mifumo dume
 
....utafiti unaonyesha ndoa znazovunjika ni nyingi kuliko zinazofungwa...utakuta kwa sku Tanzania zmefungwa ndoa 55 Ila zlizovunjika 256...

Na wanawake wanaongoza kwa kuvunja ndoa..

Kwa alivyoeleza mleta mada Kama hayo yatafatwa na hawa wnke basi ndoa itakuwa kimbilio la wengi na michepuko itatoweka kabsa na zinaa itaisha.

Ila mwanamke mzur anapambwa na tabia nzur sio sura.
Tatzo vijana hatuoi mwanamke Bali tunaoa matako ya wanawake(chura),matiti,sura,k*ma,kiuno, wanaacha tabia.

MUOGOPE KAMA MOTO MWANAMKE AMBAYE ANAONA UZUR WAKE NI BORA KULIKO TABIA YAKE.
 
Maelezo murua kabisa mkuu, ila kama ulivosema wanapenda morphology zaidi
 
Njoo kwangu tuwe tunapeana morning glory

Sent using Jamii Forums mobile app
hapo inakuwa si morning glory,
labda nikueleweshe hivi, kwa mfano mimi na mume wangu, tunalala pamoja kila siku mchezo wa wazazi tunapeana usiku baada ya watoto na dada wakazi kulala lakini alfajiri unaamka unampa tena mumeo, hiyo ndiyo morning glory, ina raha yake jamani, tena kwa kipindi hiki cha lockdown mnaongeza muda mpaka saa mbili hivi,
 

You nailed it brother.!


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Daaah wanandoa wanapata raha jamani.! Hadi nimedindisha yaani na hivi demu wangu yupo kwao Kilimanjaro tabu naipata haswa .!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda wa Morning glory ndio huu jamani , bado nusu saa uishe, mnaopiga malizieni, hii huwa haihitaji raundi tatu, unapiga kimoja tu mnaenda kuoga, ila make sure unamikisha mlima kilimanjaro pale kwenye barafu
 
Muda wa Morning glory ndio huu jamani , bado nusu saa uishe, mnaopiga malizieni, hii huwa haihitaji raundi tatu, unapiga kimoja tu mnaenda kuoga, ila make sure unamikisha mlima kilimanjaro pale kwenye barafu
wewe tayari ushamaliza?..na umefika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…