So hapa unatoa taswira gani mkuu?
Aisee!Unatoa wito gani kwa watanzania kwa ujumla?
Tunaomba wenyeji wa majimbo haya mawili watuambie ukifananisha majimbo haya mawili ni jimbo gani liko katika hali nzuri zaidi kimaendeleo? Shida za wananchi ni nani anayezijua zaidi jimboni kwake? Vipi kwa muonekano wa hali za wananchi kiuchumi kwa ujumla wake pia?
Hebu tuangalie Elimu, afya,Umeme,maji,chakula,barabara nk.
Nimeuliza hili Swali kwa nia njema tu kwa sababu hawa waheshimiwa wagombea Urais wote wawili wamekua wabunge na Mawaziri muda mrefu!Je ni nani kati yao aliyezijua shida za wananchi mapema na akawasaidia kiukweli hasa? Kama mtu amezifahamu shida za wananchi wa jimboni kwake mapema na akawaweka vizuri kimaendeleo basi huyu ndiye atakayewavusha watanzania wote na ndiye anazijua shida za wananchi wote.
Lowassa ndiye aliezifahamu matatizo ya wananchi wake na akachukua hatua. Baada ya kuwa mbunge 1995 aligundua tatizo ni elimu na akachukua hatua, wakati anakuwa mbunge, jimbo lake lilikuwa na shule moja ya sekondari na mwamko wa elimu ulikuwa mdogo. Lowassa anaacha ubunge 2015, Jimbo lake lina shule za kutosha hadi kuna kata zina shule mbili na zina ubora. Ni mafanikio makubwa kwa jamii ya wafugaji. Mwamko wa elimu kwa wafugaji wa Monduli ni mkubwa kuliko pengine.Kuna vijana wengi wa Monduli wenye elimu ya juu kuliko pengine. So Lowasa anastahili kuwa rahisi.
Huwez ...linganisha jimbo la lowasa liko juu...kwake hata wapinzni ni kama hawapo .....alikuwa anawajali wananchi wake kila wakati....Makufuli....ziwa victoria lile ila no maji......
Mkuu kumlinganisha lowasa na makufuli ni kumdhalilisha lowasa ....Monduli japo wakaze wake wengi ni wafugaji na wakulima ila lowasa kafanya mambo makubwa sanaaa