Wewe mona aka cheusi dawa unataka kuolewa mara ngapi? Si uliolewa na marehemu nanii yule director wa kenya nshamsahau, aya tena ukajaga kuolewa na mwarabu looh leo tena unatamani kuolewa na kina mama ubaya wasemeje sasa? Si bora wewe umevaa shera umetoa nuksi, mwenzio mama ubaya anatamani kuvaa ata shera kwenye movie ila bahati hiyo hana, looh kwanza umeshazeeka unataka kuolewa kitu gan utulie ulee watoto hao, au kisa mama ako kaolewa na miaka 60 na wewe unatamani?? Nfyuu tupishe apa, ila tulikumis, eeh zile mali za marehemu tyson mligawanaje? Maana ulivyokuwa na kiherehere nasikia , sijui uliambulia ata bakuli