Moja ya habari kila siku hasubuhi huwa naisoma na nabaki najiuliza 'Wa_Tanzania' na 'Wa_Africa' huwa tunakosea wapi

Ultimate

JF-Expert Member
Nov 29, 2016
713
1,738
Dhu kila mara nikisoma hii habari inanipa moyo wa kuendelea kufanya kwa bidii jambo lolote lililopo mbele yangu
huwa nabaki najiuliza kawa hawa wameweza je kufika huku sisi tuna shida gani kwa maana africa hamna kijana hata mmoja kwenye list sitaki kuamini eti AFRICA hamna frusa kama mabara mengine tushidwa yani nchi 50+ tunashidwa kuingiza hata mtu mmoja kwenye list ya mabilionea hata top 50 ya forbes. mm naamini kuna siku tutakua na MTZ mmoja aliye zaliwa kati ya '1995-2005' (kwanini '95-05' hapa ukiangalia waliozaliwa 94< wengi wao hawana matarajio makubwa wengi wanawaza nimalize kusoma nipate kazi alafu mengine mungu atapanga infact hawana 'udhubutu' na 05> wengi wao ni watoto wa kizazi cha FB, Insta, whatsapp unakutana na mtoto hawezi ata kutengeneza gari la waya, hajui kombolera, kucheza golori lakini unakikuta kiki shika SM kina jua sehemu ya kuselect mtandao usome 4G au 3G hapa sasa utatengemea nini tena) atake kuja kuwa moja ya mabillioner 5 wakubwa duniani kwa rate za FORBES. ni mda sasa wa watanzania na waafrica kupeana support ili tusibaki bara la kutengemea aid's na rambilambi kutoka ulaya kuona frusa zilizopo mbele yetu na ku take action
Vijana walio tajiri zaidi duniani
 
Baba serikali zenyew za africa zinawafanya raia wake kua maskini kwa sababu most of them are corrupt. Tunaongozwa na roho za ubinafsi na umimi ni watu wachache tu waliokwisha tengeneza au tengenezewa network ndo wanaruhusiwa kushamiri Afrika nao huo ushamiri upo very limited.

Ni vigumu mno afrika kutoka chin had ukafikia mtu mkubwa mwenye mafanikio zaid sana utaweza tu kuarchieve urahisi wa maisha ya kawaida tofauti na huko kwa wenzetu kinachohitajika ni akili na ubunifu tu.

Mifano: a) mtu anafanya biashara yenye thamani ya 25M anaambiwa kodi 37M lini utatoka kwenye mazingira kama haya. Lakin huyu mtu angekua na watu au akitafuta watu akafahamiana nao kwenye system kodi isingekua hivi.

b) bei za magari nje ya nchi ni rahisi sana lakin ukiagiza gari yenye thaman ya 5M bandarin utaitoa kwa 7-12M yan kodi ni kubwa mara mbili mpaka tatu ya thamani ya mzigo ila haipaswi kua hivi. Kama ingekua rahisi kuagiza gari asilimia kubwa ya familia zingekua na usafir wao nyumban hii ingepromote sana maendeleo ya mtu mmoja mmoja lakin pia ya nchi kwa ujumla kwa sabab kodi zingelipwa kupitia mafuta na services zingne za magari. Watu wangefanya kazi zao za kiofisin na shamban kwa urahisi zaid na kwa uzalishaji ungeongezeka.

Mchawi wa Afrika ni waafrika wenyew hasa hawa wanajiita viongozi kwa maana hawapo kwa maslahi ya waafrika bali kwa ajili yao wenyew.
 
Tatizo viongozi, umimi, roho mbaya. Mzungu ni mzungu tu mfano mzungu anaweza muona mwanao anakipaji fulani akamsapoti sana ila kwa Waafrika utasubiri sana.
 
Baba serikali zenyew za africa zinawafanya raia wake kua maskini kwa sababu most of them are corrupt. Tunaongozwa na roho za ubinafsi na umimi ni watu wachache tu waliokwisha tengeneza au tengenezewa network ndo wanaruhusiwa kushamiri Afrika nao huo ushamiri upo very limited.

Ni vigumu mno afrika kutoka chin had ukafikia mtu mkubwa mwenye mafanikio zaid sana utaweza tu kuarchieve urahisi wa maisha ya kawaida tofauti na huko kwa wenzetu kinachohitajika ni akili na ubunifu tu.

Mifano: a) mtu anafanya biashara yenye thamani ya 25M anaambiwa kodi 37M lini utatoka kwenye mazingira kama haya. Lakin huyu mtu angekua na watu au akitafuta watu akafahamiana nao kwenye system kodi isingekua hivi.

b) bei za magari nje ya nchi ni rahisi sana lakin ukiagiza gari yenye thaman ya 5M bandarin utaitoa kwa 7-12M yan kodi ni kubwa mara mbili mpaka tatu ya thamani ya mzigo ila haipaswi kua hivi. Kama ingekua rahisi kuagiza gari asilimia kubwa ya familia zingekua na usafir wao nyumban hii ingepromote sana maendeleo ya mtu mmoja mmoja lakin pia ya nchi kwa ujumla kwa sabab kodi zingelipwa kupitia mafuta na services zingne za magari. Watu wangefanya kazi zao za kiofisin na shamban kwa urahisi zaid na kwa uzalishaji ungeongezeka.

Mchawi wa Afrika ni waafrika wenyew hasa hawa wanajiita viongozi kwa maana hawapo kwa maslahi ya waafrika bali kwa ajili yao wenyew.
Sina cha kuongeza mkuu umemaliza yote
 
Baba serikali zenyew za africa zinawafanya raia wake kua maskini kwa sababu most of them are corrupt. Tunaongozwa na roho za ubinafsi na umimi ni watu wachache tu waliokwisha tengeneza au tengenezewa network ndo wanaruhusiwa kushamiri Afrika nao huo ushamiri upo very limited.

Ni vigumu mno afrika kutoka chin had ukafikia mtu mkubwa mwenye mafanikio zaid sana utaweza tu kuarchieve urahisi wa maisha ya kawaida tofauti na huko kwa wenzetu kinachohitajika ni akili na ubunifu tu.

Mifano: a) mtu anafanya biashara yenye thamani ya 25M anaambiwa kodi 37M lini utatoka kwenye mazingira kama haya. Lakin huyu mtu angekua na watu au akitafuta watu akafahamiana nao kwenye system kodi isingekua hivi.

b) bei za magari nje ya nchi ni rahisi sana lakin ukiagiza gari yenye thaman ya 5M bandarin utaitoa kwa 7-12M yan kodi ni kubwa mara mbili mpaka tatu ya thamani ya mzigo ila haipaswi kua hivi. Kama ingekua rahisi kuagiza gari asilimia kubwa ya familia zingekua na usafir wao nyumban hii ingepromote sana maendeleo ya mtu mmoja mmoja lakin pia ya nchi kwa ujumla kwa sabab kodi zingelipwa kupitia mafuta na services zingne za magari. Watu wangefanya kazi zao za kiofisin na shamban kwa urahisi zaid na kwa uzalishaji ungeongezeka.

Mchawi wa Afrika ni waafrika wenyew hasa hawa wanajiita viongozi kwa maana hawapo kwa maslahi ya waafrika bali kwa ajili yao wenyew.
Aiseeee""" Shikamoo comentator
 
Mindset mkuu waafrika wengi wanadhani mambo hayawezekani na pia hawana malengo makubwa. kwa sasa wa africa wenye Vision, strategy & Positive mindset tupo asilimia ndogo sana
 
Back
Top Bottom