Mkuu jaribu huo ushauri wa chiefMsaada wenu wakuu,modem yangu hupatwa na matatizo ya ku fail nnapo taka ku connect data.inaniletea ujumbe ambao nmescreen na ku attach hapo chini.huwa nna un install,halaf nna install tena,hapo itaendelea na kazi kama kawaida.ila tatizo hujirudia tena mara kwa mara.hvo inanibid nifanye kazi ya ku unistall na ku install tena.
Naomba msaada wenu wadau,ili hili tatizo liweze kufumbuliwa moja kwa moja bila kujirudia.
note.
Natumia modem ya airtel ila ni multi purpose
View attachment 554143 View attachment 554144
mara nyingi ni driver conflict mkuu, ndio maana ukitoa ukieka inakubali then badae inakataa.
jaribu kutoa dashboard zote zisizo na maana nenda na device manager un install modem zote halafu eka upya dashboard yako na driver za hio modem maisha yaendelee
ok tuanze taratibuShukrani kwa ushauri wako mkuu.ila sorry,mimi sio mjuz wa computer na program zake,ni mtumiaji tu.maana hata juzi kati ilizingua,ile sehemu ya ku connect,ikawa iko faint kabisa,haikulet ule wekundu unao kuruhusu ku connect,nmempelekea jamaa,baada ya kuset,akaniambia nimlipe buku 8.nlichoka kwa kweli,yaan kufanya tu settings ananiomba pesa yote hyo.naomba ufafanuz zaid kidogo.,maana hata dashboard siifahamu.samahan kwa usumbufu
ok tuanze taratibu
ukiona haileti huo wekundu na pale kwenye connect pamefifia mara nyingi huna setting ya internet, japo kikawaida uki install dashboard setting hukaa automatic, wakati mwengine hazikai hivyo utahitaji kuzitengeneza mwenyewe.
angalia hapa jinsi wanavyotengeneza
Unlock-Huawei-Zte.Blogspot.In: How to Set Profile in ETISALAT ZTE Modem Dashboard
kwa Tanzania
dial number ni *99#
apn ni internet mitandao yote
halotel ni b-internet.
turudi kwenye dashboard
mkuu dashboard ni hio software ya modem ambayo umetuma picha yake. tuchukulie mfano toka uinunue hio laptop umeshachomeka modem 5 tofauti tofauti na kila modem unaeka software yake, mwisho wa siku una software nyingi kwenye laptop yako hadi zinasababisha kuingiliana na kusababisha matatizo kama hayo.
hivyo hapo toa software za modem ambazo hutumii ibaki moja tu unayotumia kwa sasa.
kutoa driver
kila modem unayoichomeka inaeka drivers zake, hivyo wewe utatakiwa kwenda device manager kuzitoa,
click start kisha search device manager kisha iclick itafunguka
angalia hii picha
utakwenda kwenye modem halafu click zitatokea modem zote, kama zipo nyingi hilo ndio tatizo, utatakiwa uzitoe kwa ku right click kisha un install, kama ipo moja tu hio unayoitumia tatizo ni jengine.
ukizitoa utazima pc na kuwasha kisha connect upya modem na kuiacha ieke upya drivers.
Uninstall modem dashboard ambazo hauzitumi, bakiza moja unayoitumia itakuwa ni muingiliano wa modem dashboard ndo maana inakuwa inaleta shida.Msaada wenu wakuu,modem yangu hupatwa na matatizo ya ku fail nnapo taka ku connect data.inaniletea ujumbe ambao nmescreen na ku attach hapo chini.huwa nna un install,halaf nna install tena,hapo itaendelea na kazi kama kawaida.ila tatizo hujirudia tena mara kwa mara.hvo inanibid nifanye kazi ya ku unistall na ku install tena.
Naomba msaada wenu wadau,ili hili tatizo liweze kufumbuliwa moja kwa moja bila kujirudia.
note.
Natumia modem ya airtel ila ni multi purpose
View attachment 554143 View attachment 554144
Shukrani kwa ushauri mkuuUninstall modem dashboard ambazo hauzitumi, bakiza moja unayoitumia itakuwa ni muingiliano wa modem dashboard ndo maana inakuwa inaleta shida.
AU Weka new mobile partner kwa ku update dashboard kwenye modem.
ASANTE PIAShukrani kwa ushauri mkuu