Mobile phone Hacking:

Mobile phone Hacking:

naomba kujua app au software ambayo inauwezo wa hack simu(calls & messages) bila kuwa nayo physically.
Software zipo kama hawa wanazo👉🏻Home
Au uje uwe mwanafunzi wangu au nikuuzie Vitabu nilitoka navyo Training India Ujifunze Mwenyewe

E1A3E0BA-F6A5-4F41-BEAE-F1602E339221.jpeg
 
software ni PEGASUS, tafute mkuu
Licence yake inaanzia $ 1Million😁. Kuna majamaa South Africa walifake Documents (zinauzwa kwa watu maalum na kuna docs unatakiwa uwe nazo wakati una order)Wakachanga wakainunua Kazi ilikuwa kuhack simu za Wabunge, Mawaziri na Ma CEO wa Makampuni .wakawa wana wa black mail kisha wanawalazimisha wanapewa Tenders nzito nzito wakawa wanapiga mahela . Mawaziri na wausika wengine wakajipanga wakaagiza mtambo wa tracking Wakawakamata.🤣
 
Licence yake inaanzia $ 1Million. Kuna majamaa South Africa walifake Documents (zinauzwa kwa watu maalum na kuna docs unatakiwa uwe nazo wakati una order)Wakachanga wakainunua Kazi ilikuwa kuhack simu za Wabunge, Mawaziri na Ma CEO wa Makampuni wakawa wana wa black main wanapewa Tenders nzito nzito wanapiga mahela . Mawaziri na wausika wengine wakajipanga wakaagiza mtambo wa tracking Wakawakamata
Akili juu ya akili.
 
Uwezekano upo ila ni elimu ya miaka kumi.(10 years in class)
😂😂😂 Acha Kumtisha Kikubwa Muda na nia mkuu! Akuna kinachoshindikana chini ya jua hii professional ni kama Uchawi Unaloga Mwanga asiingie Geto, Na yeye Mwanga anatengeneza Scud kali anaingia , na wewe unaenda tafuta kali zaidi asiingie na Yeye Mwanga tena unaenda ongeza jingine😂kwenye ulimwengu wa IT ni hivyo hivyo
 
Hadi sasa na napata whasapp chat zake kwenye pic yangu kiulainiii, hata akizidelete kwake
 
Licence yake inaanzia $ 1Million. Kuna majamaa South Africa walifake Documents (zinauzwa kwa watu maalum na kuna docs unatakiwa uwe nazo wakati una order)Wakachanga wakainunua Kazi ilikuwa kuhack simu za Wabunge, Mawaziri na Ma CEO wa Makampuni .wakawa wana wa black mail kisha wanawalazimisha wanapewa Tenders nzito nzito wakawa wanapiga mahela . Mawaziri na wausika wengine wakajipanga wakaagiza mtambo wa tracking Wakawakamata.


Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Kuna softwares ambazo unaweza subscribe kwa mwezi au mwaka una hack vizuri ela yako tu.
 
Back
Top Bottom