Mo Bamba NBA sasa sio tena Hasheem Thabeet

Hashim Thabit hana tofauti na Kibu Dennis! Wadau waliwawekea matarajio makubwa! Ila mwisho wa siku matokeo yao yamekuwa ni ya kusikitisha, kufadhaisha na pia kuhuzunisha.
Yaani mimi kama shabiki wa Simba nakerwa sana na yule mpuuzi Kibu. Nilimuunga mkono Pape Ousmane Sakho alipo'fume' baada ya kufanyiwa sub kumpisha Kibu kwenye game ya Simba vs Coastal Union. Mimi ningekuwa Sakho ningemrushia kiatu kocha. Huyo Kibu alipoingia alifanya nini cha maana? Shwaini zake.
 
Hashim Thabit hana tofauti na Kibu Dennis! Wadau waliwawekea matarajio makubwa! Ila mwisho wa siku matokeo yao yamekuwa ni ya kusikitisha, kufadhaisha na pia kuhuzunisha.
Kwa nini umtaje Kibu Denis?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…