kuna mbunge wa ccm anaitwa sijui mngungu eti anasema tatizo la umeme ni demand imeongezeka, jamani hawa ccm mbona wanacheza na maisha yetu, hiyo demand iliyoongezeka ni ipi, for miaka saba wameongeza wateja wapya kwa only 4% tu, du kweli nimeamini ccm ni wauaji. ina maana hawajui tatizo la kukosa umeme kweli, hapana this is too much now.