KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,477
- 2,360
Swahili radio tehran katika kurasa wake wa fb majira ya saa 21:18 march 30/ 2014 imeripoti wakimbizi na wafanyakazi wenye asili ya afrika hasa ethopia na elitrea wananyanyaswa sana na serikali ya waisrael na waliandamana leo kupinga hali hiyo kwani wanawekwa mahabusu hadi mwaka mmoja bila ya kupelekwa mahakamani. je nyie wanyarwanda wabantu na weusi tii kama mimi udugu wenu na waisrael upo wapi? kama wahabeshi tu wa elitrea na ethepia mnao sema wanaundugu na israel wanafanyiwa vile je itakuwaje kwenu nyie?