1. Kila mtu aendelee kuamini cha upande wake, mwisho siku atakaonekana yupo sahihi atafuatwa
2. Mm naiona tecdema na wanaharakati uchwara kama haramu, lakini sijaona uharamu wa serikali hii
3. kilichofeli na kuanguka ni mapinduzi uchwara
-yangefanyika maandamano halafu watu wakala misumari kwenye maandamano ndo ningeona uharamu wa hii serikali, lakini sasa waliokula misumari ni vibaka na wahuni wavurugu, na kwa bahati mbaya na wale waliokuwa sehemu ya vurugu, kumbuka msumari na vurugu havina macho.
NITAITETEA SERIKALI HALALI YA JMT HADI TONE LA MWISHO
vipi umempelekea lissu chakula leo ili kesho asije anza kulia lia na kutia huruma?