Mnajipendekeza kwa Rais kiwango hiki ili iweje? Mtoto anatupwa nyumba ya wageni ninyi mnambatiza Jina la Samia, yeye ndio kamtupa hapo?

Mnajipendekeza kwa Rais kiwango hiki ili iweje? Mtoto anatupwa nyumba ya wageni ninyi mnambatiza Jina la Samia, yeye ndio kamtupa hapo?

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Mimi nina mtoto anaitwa Freeman Sifi Leo, kwa sababu mtoto huyu alizaliwa tarehe ambayo Freeman alitoka jela na kukimbilia IKULU chapu.

Sasa najiuliza huyo mtoto aliyetelekezwa na mama yake hapo Guest house Tabora na uzuri akaokotwa kwanini mmeamua kumbatiza Jina la Samia Suluhu Hassani Ili Hali sio damu yake?

Hivi Rais Samia amewakosea Nini?

Juzi Kuna Mmoja nilimsikia anataka Choo Cha wanafunzi shule Fulani anataka kiandiwe Jina la Dkt. Nchimbi na kile Cha wanawake kiandikwe Jina Samia kisa ndio waliokusanya fedha na kulipa kodi swali imefikia hatua mnataka mpaka majina ya vyoo yaitwe majina ya viongozi Ili iweje?

Shame on you! Mtoto aitwe Jina guest house alikotelekezewa.
 
Hii nchi Ina mambo ya ovyo kwel najua hata huyo mtoto akikuw atabadrisha jina historia tumehif
 
Mimi nina mtoto anaitwa Freeman Sifi Leo, kwa sababu mtoto huyu alizaliwa tarehe ambayo Freeman alitoka jela na kukimbilia IKULU chapu.

Sasa najiuliza huyo mtoto aliyetelekezwa na mama yake hapo Guest house Tabora na uzuri akaokotwa kwanini mmeamua kumbatiza Jina la Samia Suluhu Hassani Ili Hali sio damu yake?

Hivi Rais Samia amewakosea Nini?

Juzi Kuna Mmoja nilimsikia anataka Choo Cha wanafunzi shule Fulani anataka kiandiwe Jina la Dkt. Nchimbi na kile Cha wanawake kiandikwe Jina Samia kisa ndio waliokusanya fedha na kulipa kodi swali imefikia hatua mnataka mpaka majina ya vyoo yaitwe majina ya viongozi Ili iweje?

Shame on you! Mtoto aitwe Jina guest house alikotelekezewa.
Tumfahamu chawa mtia wazo tasafali!
 
Mimi nina mtoto anaitwa Freeman Sifi Leo, kwa sababu mtoto huyu alizaliwa tarehe ambayo Freeman alitoka jela na kukimbilia IKULU chapu.

Sasa najiuliza huyo mtoto aliyetelekezwa na mama yake hapo Guest house Tabora na uzuri akaokotwa kwanini mmeamua kumbatiza Jina la Samia Suluhu Hassani Ili Hali sio damu yake?

Hivi Rais Samia amewakosea Nini?

Juzi Kuna Mmoja nilimsikia anataka Choo Cha wanafunzi shule Fulani anataka kiandiwe Jina la Dkt. Nchimbi na kile Cha wanawake kiandikwe Jina Samia kisa ndio waliokusanya fedha na kulipa kodi swali imefikia hatua mnataka mpaka majina ya vyoo yaitwe majina ya viongozi Ili iweje?

Shame on you! Mtoto aitwe Jina guest house alikotelekezewa.
Kwani yeye ndiye anayetoa za kugharamia miradi ya wananchi! Ipo shida gani?
 
Back
Top Bottom