Mnafanyaje hadi mnapendwa?

Raia mpya

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2022
Posts
906
Reaction score
2,488
Wanangu tupeane code kidogo hivi nyie mnafanyaje fanyaje mpka mwanamke anakupenda kabisa, kuda dada kila siku lazima ampost mwana ake yaani deile ,kuna ile wegine wanawake mpka wanawagombania hivi nyie mnafanyaga nini mpka inakuwa hivyo?
Au ndio hela?
 
Mkuu pesa ulishapata tayari?

Kama bado endelea kukomaa, malezi yanahitaji pesa
 
Labda hii itakusaidia. Wanawake hawapost wale wanaowapenda na akimposti lazima amfiche sura, maana anaogopa "kuibiwa". Ukiona mwana anapostiwa kila siku ujue huyo hata akiibiwa haitamsumbua huyo mwanamke, maana ampendaye amemficha....akili, mwana, akili.
 
Hii ya kuspotiana mara nyingi huwa ni unafki na janjajanja ya kitoto sana na huwadaka mabwegenazi.

Siku hizi wajanja wengi wamejua hizo janjajanja.
 
katafute hela alaf rudi nikupe code
 
  1. Mkojoze vizuri, siyo dakika 3 wazungu hao.
  2. Usiwe na shida ndogo ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…