Labda hii itakusaidia. Wanawake hawapost wale wanaowapenda na akimposti lazima amfiche sura, maana anaogopa "kuibiwa". Ukiona mwana anapostiwa kila siku ujue huyo hata akiibiwa haitamsumbua huyo mwanamke, maana ampendaye amemficha....akili, mwana, akili.