Frank King
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 1,310
- 886
Sikieni enyi Jamaa, Huyu sii Jiwe,ni Mkate tu ambapo kiboko yake ni Chai ya Rangi hata isiyokuwa na sukari,, ipo hivi....
Yesu alimuita Petro KEFA...yaani JIWE, tena akasema juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa langu wala Malango ya kuzimu haitalishinda....Sasa tunapo Muita jiwe nikwamba tunampa utukufu usiomstahili wala kumfaa,sii lolote si chochote, asiyeshaurika, aliyejihesabia haki,nakutuona hatuna haki yakuhoji wala kusema, amesahau kwamba hii Nchi ni Yetu sote.
Looh!! Yeye ni Mkate tu, kama hamuamini mwambieni asimamishe katiba mpya, Tume huru ya Uchaguzi, uhuru wa habari, haki ya mikutano kwa upinzani....kisha uone kitakachotokea....
Asubuhi saa mbili lumumba na mgogoni hapatakalika.
SII JIWE NI MKATE!!
Yesu alimuita Petro KEFA...yaani JIWE, tena akasema juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa langu wala Malango ya kuzimu haitalishinda....Sasa tunapo Muita jiwe nikwamba tunampa utukufu usiomstahili wala kumfaa,sii lolote si chochote, asiyeshaurika, aliyejihesabia haki,nakutuona hatuna haki yakuhoji wala kusema, amesahau kwamba hii Nchi ni Yetu sote.
Looh!! Yeye ni Mkate tu, kama hamuamini mwambieni asimamishe katiba mpya, Tume huru ya Uchaguzi, uhuru wa habari, haki ya mikutano kwa upinzani....kisha uone kitakachotokea....
Asubuhi saa mbili lumumba na mgogoni hapatakalika.
SII JIWE NI MKATE!!