Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Makontena ya Makonda yanadaiwa kodi bilioni 1.2!Baada ya Makonda kushindwa kulipa,imeamuriwa kupigwa Mnada!
Ikumbukwe tumeambiwa makontena hayo ni msaada toka kwa wanadiaspora!
Sasa najiuliza,iwape itapatikana labda bilioni 10,je pesa yote hiyo inachukuliwa Na TRA au wao wanachukua chao tu ambacho ni 1.2b?
Je,kama wanachukua chao,hizo zinazobaki zinaenda wapi?
Au anapewa Makonda ambaye ndio mmiliki?
Kama ndivyo,basi Makonda atakuwa katengeneza fortune!!!!!
Ikumbukwe tumeambiwa makontena hayo ni msaada toka kwa wanadiaspora!
Sasa najiuliza,iwape itapatikana labda bilioni 10,je pesa yote hiyo inachukuliwa Na TRA au wao wanachukua chao tu ambacho ni 1.2b?
Je,kama wanachukua chao,hizo zinazobaki zinaenda wapi?
Au anapewa Makonda ambaye ndio mmiliki?
Kama ndivyo,basi Makonda atakuwa katengeneza fortune!!!!!