Kitunguunyanya
Member
- Mar 18, 2011
- 15
- 0
Kumfukuza mtu kazi ni mpaka hatua zifuatwe
1. Je alikwisha kupewa onyo mara ngapi?
2. Je alipewa nafasi ya kujitetea? n.k n.k..
Kama hatua hazikufuatwa ana haki ya kwenda kwenye vyombo vya haki (kama vyama vya wafanyakazi) akasaidiwa...(ila mshauri awe anachunguza vitu kwanza apate uhakika)
Habari zenu wandugu wa jf! Juzi boss we2 kamfukuza mfanyakazi mwenze2 kazi ni sawa? Kwa kifupi huyu mfanyakazi alimpigia sm mume wa mwenzake wanaofanya kazi secta 1 ofis 1 na kumwambia kwamba et mke wake anatembea na mume wake. Maskini jamaa akapatwa na hasra na kumpiga mkewe mpaka akazimia na kulazwa hospto. Mwanaume ndo akastuka na kufanya uchunguzi na kubaini ni uongo ndo hayo mambo yakafika ofisin na baada ya kikao boss akaamua kumfukuza kazi akisema ninanukuu" 2mekaa kikao 2meona 2kufukuze kazi kw sababu hizi zifuatazo 1. Fahari wawili hawakai zizi moja. 2meamua wewe uondoke mwenzako akipona 2tamrudisha kazini. 2. katika kampuni yangu sitaki wa2 waongo isije siku ukampelekea mke wangu manen0 ya uongo ukanivunjia heshma 3. kwanza utendaji wako hauridhish nilikua nafikiria kukufukuza kazi siku nying ila sikua na sababu ya msing. Chukua mshahara wako wa mwenzi huu ingawa bado mwenz haujaisha. nakutakia mafanikio mema" hivi wanajf ni haki? Si angemuhamisha2 secta? Au nyie munaunaje? Mimi binafsi imeniuma kufukuzwa kwake
Habari zenu wandugu wa jf! Juzi boss we2 kamfukuza mfanyakazi mwenze2 kazi ni sawa? Kwa kifupi huyu mfanyakazi alimpigia sm mume wa mwenzake wanaofanya kazi secta 1 ofis 1 na kumwambia kwamba et mke wake anatembea na mume wake. Maskini jamaa akapatwa na hasra na kumpiga mkewe mpaka akazimia na kulazwa hospto. Mwanaume ndo akastuka na kufanya uchunguzi na kubaini ni uongo ndo hayo mambo yakafika ofisin na baada ya kikao boss akaamua kumfukuza kazi akisema ninanukuu" 2mekaa kikao 2meona 2kufukuze kazi kw sababu hizi zifuatazo 1. Fahari wawili hawakai zizi moja. 2meamua wewe uondoke mwenzako akipona 2tamrudisha kazini. 2. katika kampuni yangu sitaki wa2 waongo isije siku ukampelekea mke wangu manen0 ya uongo ukanivunjia heshma 3. kwanza utendaji wako hauridhish nilikua nafikiria kukufukuza kazi siku nying ila sikua na sababu ya msing. Chukua mshahara wako wa mwenzi huu ingawa bado mwenz haujaisha. nakutakia mafanikio mema" hivi wanajf ni haki? Si angemuhamisha2 secta? Au nyie munaunaje? Mimi binafsi imeniuma kufukuzwa kwake
aende pale CMA(baraza la usuluhishi wa mambo ya kazi) huyu boss hana haki ya kumfukuza kazi kwa kisingizio kama hicho.Sheria ya kazi hairuhusu,huo ni uhuni.Lazima kuwe na sababu ya msingi ndani ya kazi na awe emeshapewa onyo,apewe haki ya kujitetea nk si kukurupuka tu,Huyu ana haki zote za kudai fidia na pia haki ya kurudishwa kazini au kulipwa kiasi cha mshahara ambao itaamriwa na hawa waamuzi(CMA).akipelekwa huyu boss hatakuwa na ushahidi wa kujitetea nae ni mhuni tu.Huyu dada aandae mkataba wake wa kazi,salary slip nk.....