Mmezaa watoto watatu leo ndo unagundua mapungufu ya mkeo?

agata edward

JF-Expert Member
Nov 25, 2014
6,641
9,397
Ni mwanamke mwenye mwenye umri kati ya miaka 37-40, mzuri wa sura shepu iliyogawanyika vizuri kiuno kilipo kinajulikana, msafi mcheshi.

Kilichonisukuma kumuandika ni hivi karibuni mume wake waliyezaa nae watoto watatu kumuacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine ambaye kwa kuangalia tu amfikii mama watatu hata kwa ukucha, tena mbaya zaidi huyu mwanamama alibadili dini ili afunge ndoa na huyu bwana x lakini akaambulia patupu.

Chakushangaza mwanamke mupya ndoa imetangazwa ndani ya miezi mitatu tena na kufungwa kwa bwembwe zote na mwanaume alivyomshenzi anagawa DVD ya harusi kwa kwa majirani maana walifungia mkoani ninachojiuliza mwanamama wa watu alikuwa na kasoro gani au ndumba.
 
Ni mwanamke mwenye mwenye umri kkati ya miaka 37 -40,mzuri wa sura shepu iliyogawanyika vizuri kiuno kilipo kinajulikana,msafi mcheshi....... Kilichonisukuma kumuandika ni hivi karibuni mume wake waliyezaa nae watoto watatu kumuacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine ambaye kwakuangalia tu amfikii mama watatu hats kwa ukucha,tena mbaya zaidi huyu mwnamama alibadili dini ili afunge ndoa na huyu bwna x lakini akaambulia patupu,chakushangaza mwnamke mupya ndoa imetangazwa ndani ya miezi mitatu tena na kufungwa kwa bwembwe zote na mwanaume alivyomshenzi anagawa DVD ya harusi kwa kwa majilani maana walifungia mkoani.....,...nachojiuliza mwanamama wa watu alikuwa na kasoro gani au ndumba ?.

 
kuzaliwa mwanamke ni kasoro tosha,twaish nanyi kwa kuwavumilia mapungufu yenu ya asili,wasio wavumilivu ndo kama ivo,kua uayone.
Mpaka wazae watoto watatu tena mtoto wa kwanza kmaliza 4m4 mwaka juzi alikuwaga ajyaona hayo mapungufu ?
 
Wanawake wanakuwaga na mapungufu kibao ambayo wanataka Sisi tuyavumilie na tuone ni maisha ya kawaida.
Ila akiona Shida kwako anakuwa anakusimanga kila siku.

Kuna wanawake Wana masimango kila siku ndani ya ndoa mpaka unakosa hata amani.
Unakuwa huna hata hamu ya kurudi nyumbani. Sasa, pesa unatafuta mwenyewe na uwezo unao, Kwa nini uendelee kuteseka??
Nahama nyumba nakuachia na watoto.
 
Ndoa inaandikwa Mbinguni,ipo siku na yeye atampata wake,mleta mada Umbo na tabia unayo ijua wewe ni ya juju,huyo aloachana nae ndio alikua analala nae na kuamka nae,usihadaike na rangi tamu ya CHAI sukari...
 
Wanawake wanakuwaga na mapungufu kibao ambayo wanataka Sisi tuyavumilie na tuone ni maisha ya kawaida.
Ila akiona Shida kwako anakuwa anakusimanga kila siku.

Kuna wanawake Wana masimango kila siku ndani ya ndoa mpaka unakosa hata amani.
Unakuwa huna hata hamu ya kurudi nyumbani. Sasa, pesa unatafuta mwenyewe na uwezo unao, Kwa nini uendelee kuteseka??
Nahama nyumba nakuachia na watoto.
Bora angemuacha kbla hawajazaa watoto watatu hakuna aliyekamilika
 
kuzaliwa mwanamke ni kasoro tosha,twaish nanyi kwa kuwavumilia mapungufu yenu ya asili,wasio wavumilivu ndo kama ivo,kua uayone.
ingekuwa ni kasoro usingekuwa hapa leo hii na huo uanaume wako
 
Wanawake wanakuwaga na mapungufu kibao ambayo wanataka Sisi tuyavumilie na tuone ni maisha ya kawaida.
Ila akiona Shida kwako anakuwa anakusimanga kila siku.

Kuna wanawake Wana masimango kila siku ndani ya ndoa mpaka unakosa hata amani.
Unakuwa huna hata hamu ya kurudi nyumbani. Sasa, pesa unatafuta mwenyewe na uwezo unao, Kwa nini uendelee kuteseka??
Nahama nyumba nakuachia na watoto.
Unamuachia, kwani ulimkuta nao?
 
Wanawake wanakuwaga na mapungufu kibao ambayo wanataka Sisi tuyavumilie na tuone ni maisha ya kawaida.
Ila akiona Shida kwako anakuwa anakusimanga kila siku.

Kuna wanawake Wana masimango kila siku ndani ya ndoa mpaka unakosa hata amani.
Unakuwa huna hata hamu ya kurudi nyumbani. Sasa, pesa unatafuta mwenyewe na uwezo unao, Kwa nini uendelee kuteseka??
Nahama nyumba nakuachia na watoto.
Unamuachia? kwani ulimkuta nao?
 
Back
Top Bottom