kwanza asanten san kwa ushauri maoni yenu meng sana ila nahc hujui had nafikia hatua ya kusema kwa upande wangu bora puny-- kulk mwanaume ngoja nikupe mkasa kidogo
mm bnt ninakaribia26
nilikua na mtu kwa 7yrs namshukuru kanisomesha QT nikafauru na 4nikafanya vizuri kanipeleka na VETA
kwahio kanisaidia kanisaidia kwa kiasi fulan
kwao wananijua kwe2 anajulikana vizur
"kwa ufupi mtu huyu alinibadilikia na kunikana nilipokataa kutoa mmba ambayo alinipa hvyo tokea nikiwa na mimba ya miez3 had sasa mwanangu anamwaka na miez9 hajui mwanae hajawahi kumwona amewakataza ndugu wote kwao kua atakaejaribu kuongea na mm hana undugu nae ukizingatia yeye ndo kila ki2kwao hawana wazazi.
cha kushangaza mtoto nikopilait na yeye ila amemkataa live
hayo kwa ufup tu ila kunamkasa mwingi katikat ambao unasabibisha nisitamani hata kuana mwanaume wapenz wanajamii wenzangu.yaan mapenz yamenitoka nimekua citamani kua na mwanaume nahc kila mwanaume mwisho wacku anakutelekeza
sasa ntaachwa na wangap bora nifanye pnt nahc cpati stres nikohuru na inanichukua hata miez m2 ndo nafanya ubaradhuri huo coz huwa cpati muda mwing wa kuwaza ngono inapotokea ndo hapo hapo
SAMAHAN KWA WALIONIELEWA VIBAYA TUPO HAPA KUJIFUNZA NA MENGINEYO
mm bnt ninakaribia26
nilikua na mtu kwa 7yrs namshukuru kanisomesha QT nikafauru na 4nikafanya vizuri kanipeleka na VETA
kwahio kanisaidia kanisaidia kwa kiasi fulan
kwao wananijua kwe2 anajulikana vizur
"kwa ufupi mtu huyu alinibadilikia na kunikana nilipokataa kutoa mmba ambayo alinipa hvyo tokea nikiwa na mimba ya miez3 had sasa mwanangu anamwaka na miez9 hajui mwanae hajawahi kumwona amewakataza ndugu wote kwao kua atakaejaribu kuongea na mm hana undugu nae ukizingatia yeye ndo kila ki2kwao hawana wazazi.
cha kushangaza mtoto nikopilait na yeye ila amemkataa live
hayo kwa ufup tu ila kunamkasa mwingi katikat ambao unasabibisha nisitamani hata kuana mwanaume wapenz wanajamii wenzangu.yaan mapenz yamenitoka nimekua citamani kua na mwanaume nahc kila mwanaume mwisho wacku anakutelekeza
sasa ntaachwa na wangap bora nifanye pnt nahc cpati stres nikohuru na inanichukua hata miez m2 ndo nafanya ubaradhuri huo coz huwa cpati muda mwing wa kuwaza ngono inapotokea ndo hapo hapo
SAMAHAN KWA WALIONIELEWA VIBAYA TUPO HAPA KUJIFUNZA NA MENGINEYO