Mliowahi kuishi vijijini

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,655
Reaction score
8,584
Hiki Kiti Kilikuwa Kinatumiwa Sana Na Mababu Wa Zamani Sana Ambao Viuno Vyao Vilikuwa Vimekazwa Sana Kwa Shughuri Za Kilimo Hivyo Kiti Cha Namna Hiyo Kilitumika Kunyonyea Mgongo Baada Ya Shughuri Za Shamba Je Kilikuwa Kinaitwaje Mie Sina Kumbukumbu Na Jina Lake
 
Kiliitwa kiti...

Baada ya kutumika hukunjwa na kuwekwa ndani...
 

mpando ( ikikota kya mpando-kinyakyusa)
 
Kiti cha uvivu.......siju kwanini tulikiita hivyo???

Mkuu KITI cha UVIVU kina kitambaa katikati hivyo mgongo mzima huwa kwenye hicho kitambaa. Hiki sio kiti UVIVU. Sisi tulizoea kukiita kiti(ila sio cha uvivu)
 

Hicho kiti kinaitwa "kiti cha Marimba"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…