Mliotoboa Law School Mlifanyaje Wenzangu?

Hii criteria ya graduate wa LLB kusoma law school ndiyo awe wakili si ilishafutwa?
 
Ulikua cohort ya ngapi
Umekamatwa somo gani?

Tuanzie hapo
 
Kiingereza kinapanda?Umeshikwa kwenye nini?
 
Kama una namba ya simu ya profesa wa jalalani mpigie akueleza vizuri kuhusu muziki wa LST
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…