Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,399
- 2,035
Nawasalimu
Nina mambo mawili ningelipenda kupokea ushauri kutoka kwenu wana jamvi.
Binafsi napenda kujitolea kwa ajili ya wengine, kwa vyovyote vile na endapo sitakua na kitu nitamuombea kimoyoni moyoni Mungu akampe heri kile na kule anapoenda kukamilisha.
Pamoja na msaada wangu na kujitoa kwa ajili ya wengine ninapokwama, msaada wa karibu kwangu unakua mzito sana kupewa. Je, hili suala hat ninyi hua mnakuta na nalo?
Mara nyingi fedha yangu hupotea katika matumizi nisiyoyaelewa; mambo yangu hayakamiliki. Nafanya saving, nimejiingiza ktk vicoba 'ninafanya biashara vyote navyofanya, am nothing.
Wakati wanajamvi mnapitia situation kama hizi mlipitaje na kukabiliana na challenges?
Napitia comment zenu, ahsanteni.
Nina mambo mawili ningelipenda kupokea ushauri kutoka kwenu wana jamvi.
Binafsi napenda kujitolea kwa ajili ya wengine, kwa vyovyote vile na endapo sitakua na kitu nitamuombea kimoyoni moyoni Mungu akampe heri kile na kule anapoenda kukamilisha.
Pamoja na msaada wangu na kujitoa kwa ajili ya wengine ninapokwama, msaada wa karibu kwangu unakua mzito sana kupewa. Je, hili suala hat ninyi hua mnakuta na nalo?
Mara nyingi fedha yangu hupotea katika matumizi nisiyoyaelewa; mambo yangu hayakamiliki. Nafanya saving, nimejiingiza ktk vicoba 'ninafanya biashara vyote navyofanya, am nothing.
Wakati wanajamvi mnapitia situation kama hizi mlipitaje na kukabiliana na challenges?
Napitia comment zenu, ahsanteni.