mie pale nimechomoka 1992...duh kweli mkuu umenikumbusha mbali sana mwl. Mdemu baada ya kumtaja ndo memory kibao zimerejea,huyu bob reagan mara ya mwisho nimekutana nae mitaa ya posta(dar) miaka ya 2000 katikati alirudishwa kutoka south akapokelewa segerea ,kwa sasa sijui alipo,..kwa kipindi hicho wacheza mpira kina yahaya mchata utawakumbuka,mechi kubwakubwa chuo cha kleruu.....sweet memory hebu kumbusha mambo mengine ya kipindi kile disco ruaha international etc.