Sijui nafasi unazoziongelea, maana wenzio tayari tuna contracts tunasubiria siku ya kuanza kazi.Habari wana jf mlioappy african barrick goldmine
Wameanza kuita watu kwa usaili, nimepigiwa cm muda huu
Habari wana jf mlioappy african barrick goldmine
Wameanza kuita watu kwa usaili, nimepigiwa cm muda huu
No deadline ilikuwa tar 25 jan na interview tumepiga leo,jamaa wako smart sn katika zoezi zima la usaili, angalizo jamani mkiitwa kwenye interview kama huwezi udhuria muwe mnatoa taarifa,tumejikuta tupo wachache sn tofauti na shortlist