Mkuu Wa Wilaya Avutana Mashati na Walinzi Wa Night Club

Katambi anapenda vurugu hats udom nadhani aliwahi timuliwa kwasababu za kuhamasisha mivurugu na maandamano nabado anamabeef na mkurugenzi Dom. Kifupi vijana wa chadema wanajua kuropoka lakini hawaujui uongozi. Tizama huyo,mtizame shonza,mfatilie kafulila na wengine kibao,wanakiherehere flani hivi...
 
Hii ajabu sana Yani mkuu wa wilaya ambaye ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya badala ya kuwa mfano wa kuigwa katika jamii yeye anakua mwanzisha vurugu? kwani hata angelipa na kuwalipia hao watu wake kulikuwa na shida gani? kingilio chenyewe elfu 10 kama disco toto tu, alafu unataka dezo? hajui kwamba watu wanafanya biashara na wanalipa kodi kwa kazi hiyo
 
Bila clip haya ni mavi tu,tena ya nguruwe pori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hao sio wa CDM ni mafisiem menzenu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…