Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,319
Kwani kupongeza juhudi za kishujaa za boss wao ni kupoteza muda?Tatizo la viongozi wa awamu huwa hawaweki akiba ya maneno. Watumishi wa serikali waliambiwa wasipoteze muda bali wafanye kazi sasa hili agizo lina maana gani au ndiyo mihemko