Mkuu wa Chuo anahitajika Haraka

Mkuu wa Chuo anahitajika Haraka

LENJENTZ

Member
Joined
May 21, 2013
Posts
69
Reaction score
10
Salama Wakuu

Bado tunamtafuta ndugu mwenye uzoefu na maswala ya uongozi wa vyuo,sio Vyuo vikuu ni chuo cha Diploma na Certificates,ndugu mwenye uzoefu na elimu yakutosha kwa nafasi hii tafadhali atume CV zake

Pia tunaendelea kupokea CV kwa ajili ya nafasi nyingine za kazi,tafadhali tumeni CV kwenye email hizi mbili hapa

recruitment@lenjentz.com au info@lenjnetz.com
 
hizo nafasi nyingne ni zipi , naomba uziweke wazi ili maombi yawe specifi, aksante
 
Back
Top Bottom