Ni mhaya yule mzee?Atawaambia Nini wakati hela za kuajiri Hana? Unadhani hajui kua kachemka? Utafanyaje mamiradi yote kwa pamoja? Kununua ndege cash alidhani Ni sifa, kua mhaya tu Ni tatizo..hatothubutu kukubali, sio kwamba hapendwi kuwapa ajira..atawalipa nini? Unless mkubali kujitolea bila sentano! Sasa si Bora msiajiriwe tu!
Atajijua mwenyewe na upuuzi wake !Ni mhaya yule mzee?
Ni mhaya yule mzee?
Tunaombaa mkutano Kati ya mheshimiwaa rais na wasio na ajira Kama alivofanya na wafanyabiasharaa
Tunaombaa mkutano Kati ya mheshimiwaa rais na wasio na ajira Kama alivofanya na wafanyabiasharaa