Hayupo na hao unao waona hapo wamefanya kupewa pesa waje kwenye mkutano. Vijana wa toyo ni buku 3 hivyo vijana wengi wamegoma pesa ndogo hii ni kwa mujibu wa Dereva wa toyo
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
Endapo tumefikia kumwabia mtumishi wa Mungu Gwajima aoneshe mapato na matumizi ya Kanisa lake basi ikiwa tutaenenda katika haki na kweli yatupasa kumwambia ZZK aoneshe mapato na matumizi ya ACT
Alafu wasivyo na aibu wanamtaka awape maelezo ya mapato naatumizi kana kwamba wanampa ruzuku yakuendesha kanisa lake,wanaacha kudai vitu vyamsingi wanakimbizana navitu vya hovyo hovyo tu