benedict ceaser
Member
- Mar 20, 2012
- 9
- 0
Kutakuepo na mkutano mkubwa wa hadhara ktk viwanja vya mkigusha bkb mjini!
Agenda:
Ufisadi ndani ya halmshauri ya bkb
Agenda:
Ufisadi ndani ya halmshauri ya bkb
Kutakuepo na mkutano mkubwa wa hadhara ktk viwanja vya mkigusha bkb mjini!
Agenda:
Ufisadi ndani ya halmshauri ya bkb
Wahaya kweli kwa masifa ndio wenyewe,lakini wanawafaagilia sana magamba wakati mkoa wao ni wa 16 kwa umaskini,si waelewi kabisa,ebu dogo janja nenda kawahabarishe.
hawa wahaya hawana hata mbunge mmoja wa upinzani!masifa mengi lakini mkoa umechoka hoi!
Peoplesss...!!
Kilichobaki ni kuvuna wanachama...
M4C...
U mvivu wa kufikiri sana mkuu,Waulize wana CDM kama kweli Kagera hawana mbunge wao tena ana kesi mahakamani.. Ama vipi ufuatilie historia ya upinzani huko mkoani bila shaka hautamkosa Ndibalema mzee Tegambwage.
hawa wahaya hawana hata mbunge mmoja wa upinzani!masifa mengi lakini mkoa umechoka hoi!
Wahaya kweli kwa masifa ndio wenyewe,lakini wanawafaagilia sana magamba wakati mkoa wao ni wa 16 kwa umaskini,si waelewi kabisa,ebu dogo janja nenda kawahabarishe.
hawa wahaya hawana hata mbunge mmoja wa upinzani!masifa mengi lakini mkoa umechoka hoi!
hawa wahaya hawana hata mbunge mmoja wa upinzani!masifa mengi lakini mkoa umechoka hoi!